Ratiba ya Chanjo za Kuku Tanzania (Layers, Broilers na Kuku wa Kienyeji)

 Wafugaji wengi hupoteza kuku kwa sababu ya kutofuata ratiba sahihi ya chanjo. Katika makala hii utajifunza ratiba ya chanjo za kuku inayotumika Tanzania ili kuzuia magonjwa hatari kama kideri, gumboro na fowl pox.

Ratiba ya Chanjo

Siku 1–3

Vitamin + Glucose (kuwapa nguvu)

Siku ya 7

Chanjo ya Newcastle (HB1 au Lasota)

Siku ya 14

Chanjo ya Gumboro ya kwanza

Siku ya 21

Chanjo ya Newcastle ya pili

Siku ya 28

Gumboro ya pili

Wiki ya 6–8

Fowl Pox (Ndui ya kuku)

Kila miezi 3

Rudia Newcastle

👉 Ratiba inaweza kubadilika kulingana na ushauri wa daktari wa mifugo.

Makosa ya Kuepuka

Kuchanja kuku wagonjwa

Kutunza chanjo vibaya

Kuchanganya chanjo bila ushauri


jiunge whatsap group hili bure kwajili ya maswali na majibu

ufugaji wa kuku bila hasara

Comments

Post a Comment

thank you